Telegram RegisterThe public register of Telegram

Channel

Serengeti Post

@SerengetiPost

On this record: Growth · Engagement · What this channel posts · Posts · Citations · Handles named that no longer answer · Cite this entry

58subscribers

+0 since we began measuring on 7 August 2026

Risers and fallers across the register · movement among entries of Under 1,000.

Register entry

Telegram ID-1001169437141
TypeChannel
Username@SerengetiPost
DescriptionSerengeti Post ni chombo cha Habari kinachotoa taarifa za kina na makala zilizofanyiwa utafiti na uchambuzi kwenye Siasa, Uchumi, Maendeleo Endelevu, Biashara, Teknolojia, Masoko, Burudani, Michezo, Afya, Mitindo ya Maisha na zaidi.
CreatedBetween 1 March 2018 and 31 July 2021— estimated from Telegram’s id allocation, not measured. How this range is calculated.
First recorded10 August 2026
Last confirmed live10 August 2026
Measurements held2
On Telegramt.me/SerengetiPost

Growth

587 August 2026 — 58 subscribers10 August 2026 — 58 subscribers7 August 202610 August 2026
2 measurements spanning 2 days. Dots are measurements; the straight line between them is drawn to join them, not to claim we know the path taken in between — snapshots are recorded only when a count changes, so gaps mean “no change observed”, never “interpolated”. The vertical axis spans 57–59 and does not start at zero.
Measurement log — every subscribers count we have recorded
Measured (UTC)SubscribersChange
10 Aug 2026, 06:1658no change
7 Aug 2026, 23:2658first reading

Engagement

20 posts held, back to 26 November 2021the reader has not yet reached the start of this channel’s public history, so older posts may sit further back, unread. Read across 1 pageof Telegram’s post history, 20 posts per page.

Nothing published in the last 30 days. ERR and ER are rolling 30-day measures, so there is nothing to compute — we hold 20 posts for this entry, the most recent from 20 May 2025. An engagement rate over an empty window would be a number about nothing.

What this channel posts

Photos
450
Videos
10
Links
391

Lifetime counters from Telegram’s own channel header, read 10 August 2026 — not the date at the top of this page, which is when the subscriber count was last read. Below Telegram’s rounding threshold, so these counts are exact.

Video runtime
6m 51s
Average length
6m 51s

Measured directly from 1 video with a duration reading, out of the posts we hold for this channel — not this channel’s whole posting history, only the sample this register has actually read. An exact reading to the second, taken from the post itself rather than from Telegram’s own rounded chrome, so it carries no mark.

Recent posts

20 May 2025, 18:45 UTCviews —

The owner of this channel has been inactive for the last 5 months. If they remain inactive for the next 20 days, they may lose their account and admin rights in this channel. The contents of the channel will remain accessible for all users.

18 Aug 2022, 02:32 UTCviews —

The account of the user that owns this channel has been inactive for the last 5 months. If it remains inactive in the next 28 days, that account will self-destruct and this channel may no longer have an owner.

16 Mar 2022, 14:55 UTC556 viewsread 10 August 2026

Kwanini Unajihisi Uchovu Mara kwa Mara? Kila mwanadamu hupitia hali ya uchovu na hasa baada ya shughuli mbalimbali ambazo zilitumia nguvu au akili. Lakini je? Vipi kwa upande wa mtu yule ambaye anahisi uchovu uliokithiri tena wa mara kwa mara tofauti na kiasi cha kazi iliyoutumikisha mwili wake au akili yake? Soma zaidi👇🏾 https://www.serengetipost.co.tz/habari/kwanini-unajihisi-uchovu-mara-kwa-mara

8 Jan 2022, 06:35 UTC599 viewsread 10 August 2026
Video

Januari 6, 2022 imeingia katika historia ya Tanzania kama siku ambayo kwa mara ya 1 Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametangaza kujiuzulu. Spika wa 7 tangu nchi ipate uhuru, Job Yustino Ndugai amebwaga manyanga kufuatia baada ya kutofautiana na Rais pindi alipohoji msimamo wake wa kuendelea kukopa fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali. Katika barua yake ya kujiuzulu, Ndugai amesema amejiuzulu ili k

29 Dec 2021, 19:07 UTC478 viewsread 10 August 2026
Photo

#KILIMO: Sekta ya kilimo ina mchango mkubwa katika ukuaji wa uchumi wa Tanzania, 90% ya ardhi ya Tanzania hulimwa na wakulima wadogo. Sekta inatoa ajira kwa 65.5% na huchangia 29.1% ya pato la Taifa, 30% ya soko la nje na 65% ya malighafi za viwanda. Pamoja na kuwa Sekta ya Kilimo ni muhimili wa maendeleo ya uchumi nchini Tanzania, bado tumeshindwa kutumia mbinu za kisasa kama kufanya kilimo cha umwagiliaji na kuend

7 Dec 2021, 14:04 UTC431 viewsread 10 August 2026
Photo

#MAISHA: Duniani tumetofautiana sana, wakati kuna watu wanaogopa vidonge na kutaka sindano, kuna wengine huogopa Sindano na kutaka vidonge. Je, wewe ukienda Hospitali ni njia ipi kati hizi unapenda itumike kukutibia? A) Vidonge B) Sindano #SerengetiPost

6 Dec 2021, 13:24 UTC359 viewsread 10 August 2026
Photo

#Siasa: Kauli ya Mwenezi wa CCM, Shaka Hamdu Shaka kuhusu Rais Samia Suluhu Hassan kufanya safari nyingi nje ya nchi. Shaka ametoa kauli hiyo leo Disemba 6, 2021 Kigamboni, Dar es Salaam wakati akihudhuria uzinduzi wa uwekezaji wa kiwanda cha vifaa vya Umeme cha #Elsewedy. #SerengetiPost

6 Dec 2021, 13:17 UTC278 viewsread 10 August 2026
Photo

#KonazaIkulu: Kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa wanaolalamikia yeye kufanya safari nyingi nje ya nchi. Rais @SuluhuSamia ametoa kauli hiyo leo Disemba 6, 2021 Kigamboni, Dar es Salaam wakati akizindua uwekezaji wa kiwanda cha vifaa vya Umeme cha #Elsewedy. #SerengetiPost

3 Dec 2021, 07:26 UTC238 viewsread 10 August 2026
Photo

#BERALUS: Nchi za Marekani, Uingereza, Canada na Umoja wa Ulaya zimetangaza kuiongezea vikwazo vya kiuchumi na kisiasa nchi ya #Belarus inayoongozwa na Rais Alexander Lukashenko kwa kosa la ukiukwaji wa haki za binadamu. Katika taarifa ya pamoja ya nchi hizo iliyotolewa jana Disemba 2, 2021, Belarus inatajwa kusimamia upangaji wa mipango inayoingiza wakimbizi katika mipaka ya nchi za Ulaya na kusema kwamba Vikwazo h

3 Dec 2021, 05:11 UTC194 viewsread 10 August 2026
Photo

#LIBYA: Mtoto wa aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Muammar Gaddafi, Saif al-Islam Gaddafi’s ameshinda hukumu ya rufaa aliyokata katika Mahakama ya Sebha kuhusu kuondolewa kwenye kinyang’anyiro cha kiti cha urais wa nchi baada ya kutuhumiwa kuwa na rekodi za uhalifu wa kivita. Mwanasheria wa Saif Gaddafi, Khaled al-Zaydi amesema hukumu hiyo ya jana Disemba 2, 2021 imerejesha matumaini kwa mteja wake kushiriki Uchaguzi Mku

1 Dec 2021, 11:44 UTC166 viewsread 10 August 2026
Photo

#URUSI: Serikali imewataka wanadiplomasia wa Ubalozi wa Marekani waliokaa zaidi ya miaka 3 nchini humo kuwa wameondoka kabla ya Januari 31, 2022 ikiwa ni hatua ya kulipa kisasi baada ya wafanyakazi wake wa Ubalozi kutakiwa kuondoka Marekani kabla ya Januari 30, 2021. Uamuzi wa Urusi umekuja baada ya Marekani kuwataka wafanyakazi 27 wa Ubalozi wa nchi hiyo na familia zao kurejeshwa nchini urusi huku ikikadiriwa kuwa

1 Dec 2021, 10:53 UTC141 viewsread 10 August 2026
Photo

#SIASA: Chadema imemtaka Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, George Simbachawene kutolea ufafanuzi kauli iliyotolewa na Jeshi la Polisi Wilayani Meatu kwenye barua kumbukumbu namba MEA/A.3/vol.I/13 iliyozuia mkutano wa Chadema kwa kudai kuwepo kwa viashiria vya tishio la ugaidi. Chadema imedai Novemba 26, 2021 ilipokea barua iliyosainiwa na Mkuu wa polisi Meatu, SSP Asiago kwenda kwa Katibu wa Chadema Wilaya iliyosema

Showing the 12 most recent of 20 posts we hold for @SerengetiPost. View and reaction counts are the latest single reading for each post, not a live figure, and a recent post is still accumulating both. A view count marked was rounded by Telegram before we ever saw it — t.me prints views in full below 1,000 and to three significant figures above, so ≈1,200,000 means somewhere between 1,150,000 and 1,249,999. Unmarked counts are exact. Text is reproduced from the public post preview and truncated for length.

Mentions

Names

Channels on the register whose handles appear in this channel's posts.

A mention is a weaker signal than a forward and is counted separately for that reason — naming a channel is not republishing it, and a handle in a post body is easy to place deliberately. The post counts beside each row below are distinct posts in which the handle appeared, from posts we have read on both sides — the “Named by N registered channels” figure above is a different count, of distinct NAMING CHANNELS rather than posts, and is not the sum of the rows under it.

Cite this entry

A live page changes as we take new readings, so a citation should name the measurement it is based on, not just the URL. The line below cites the subscriber count as measured 10 August 2026 — this entry's latest reading, not the date you are reading this.

“Serengeti Post” (@SerengetiPost), 58 subscribers as measured 10 August 2026. Telegram Register, tgregister.com/channel/SerengetiPost.

Full measurement history, CC BY 4.0. Every reading this register holds for this entry, not just the latest one, as a dated, downloadable record: CSV · JSON. Free to use with attribution to tgregister.com. Each file carries its own generation timestamp, which is the figure to cite for exactly when the data was retrieved.